Home African Music Deborah Lukalu – Tenda

Deborah Lukalu – Tenda

Tenda by Deborah Lukalu MP3 MUSIC VIDEO

Tenda LYRCIS by Deborah Lukalu:
Hakuna hakuna, Hakuna Mungu kama wewe Baba
Hakuna hakuna, Hakuna Mungu kama wewe Baba
Hakuna mwingine kimbilio langu
Hakuna hakuna, Hakuna Mungu kama wewe Baba
Hakuna mwingine Baba wa wajane
Hakuna hakuna, Hakuna Mungu kama wewe Baba
Mungu ni Shefu, wa mataifa yote
Hakuna hakuna, Hakuna Mungu kama wewe Baba
Mungu ni shefu (shefu)
Shefu (wa mataifa yote)

Alitenda mambo makubwa
Wanadamu hawakuelewa (tenda tenda tenda)
Tenda eh Baba tenda
Tenda eh Baba tenda
(Mungu wa uzima)
Tenda eh Baba tenda
(Baba wa wajane)
Tenda eh Baba tenda
(Iyo yo yo yo oh)
Tenda tendaa

Ni wa uwezo ni wa ushindi
Ni muweza yote kweli ni muumba wetu
Watoto tunasala (tumepata kwa neema)
Masomo tunaweza (tumepata kwa neema)
Diploma uko nayo (ulipata kwa neema)
Kuimba unaimba (ulipata kwa neema)

Huyu Mungu wetu (anasema anajibu)
Ni muweza yote
Hallelujah ni Muumba wetu

Wa milele wa milele Mungu wa Baraka ni Yesu
Wa milele wa milele Mungu wa Baraka ni Yesu

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here