Home African Music Martha Mwaipaja – Mbingu zimefunguka

Martha Mwaipaja – Mbingu zimefunguka

Mbingu zimefunguka by Martha Mwaipaja MP3 MUSIC VIDEO

Mbingu zimefunguka LYRCIS by Martha Mwaipaja:
Halleluya Baba mmmh
Naona mbingu zimefunguka
Zimeleta majibu yangu
Naona mbingu zimefunguka
Zimeleta majibu yangu

Nimesikia sauti ikitoka pale
Ikisema mwanangu nimekusikia
Nimesikia sauti ikitoka pale
Ikisema mwanangu nimekusikia

Sauti, iliposikika
Nilihisi mwili wangu umebadilika
Kila kiungo cha mwili wangu
Kimepokea makuu

Kwa moyo ndani ya kilindi changu
Naimba wewe ni Mungu
Mimi, ndani ya kilindi changu
Naimba wewe wewe, Halleluyah

Katika kilindi cha moyo wangu
Naimba wewe ni Mungu

Katika kilindi cha moyo wangu
Naimba wewe ni Mungu

(Umetenda makubwa sana)

Katika kilindi cha moyo wangu
Naimba wewe ni Mungu
Katika kilindi cha moyo wangu
Naimba wewe ni Mungu

(Umenitendea makubwa Yesu)

Katika kilindi cha moyo wangu
Naimba wewe ni Mungu
Katika kilindi cha moyo wangu
Naimba wewe ni Mungu

Asante Yesu Kristo
Wema wako umenitosha Bwana

Miguu yangu imeniambia
Tumeshakwisha kutiwa nguvu
Mikono yangu nayo imenieleza
Imezipokea baraka za Mungu

Katika kilindi cha moyo wangu
Nasema wewe ni Mungu
Katika kilindi cha moyo wangu mimi
Nasema wewe ni Baba

Katika kilindi changu
Cha ndani yangu Baba
Nasema wewe ni Mungu
Halleluya
Nasema wewe ni Baba

Katika kilindi cha moyo wangu
Naimba wewe ni Mungu
Katika kilindi cha moyo wangu
Naimba wewe ni Mungu

(Umenisaidia Yesu)

Katika kilindi cha moyo wangu
Naimba wewe ni Mungu
Katika kilindi cha moyo wangu
Naimba wewe ni Mungu

(Umenifanya nionekane na mimi Baba)

Katika kilindi cha moyo wangu
Naimba wewe ni Mungu
Katika kilindi cha moyo wangu
Naimba wewe ni Mungu

(Wewe ni Mfalme wa wote)

Katika kilindi cha moyo wangu
Naimba wewe ni Mungu
Katika kilindi cha moyo wangu
Naimba wewe ni Mungu

(Naimba, naimba, naimba)

Katika kilindi cha moyo wangu
Naimba wewe ni Mungu
Katika kilindi cha moyo wangu
Naimba wewe ni Mungu

(Nakutangaza wewe ni Mungu)

Katika kilindi cha moyo wangu
Naimba wewe ni Mungu
Katika kilindi cha moyo wangu
Naimba wewe ni Mungu

(Wewe ni mzuri)

Katika kilindi cha moyo wangu
Naimba wewe ni Mungu
Katika kilindi cha moyo wangu
Naimba wewe ni Mungu

(Umenitazama)

Katika kilindi cha moyo wangu
Naimba wewe ni Mungu

Katika kilindi cha moyo wangu
Naimba wewe ni Mungu
Katika kilindi cha moyo wangu
(Moyo wangu baba)
Nasema wewe ni Mungu

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here