Home African Music Paul Clement – Kwa Usafi Wa Moyo

Paul Clement – Kwa Usafi Wa Moyo

Kwa Usafi Wa Moyo by Paul Clement MP3 MUSIC VIDEO

Kwa Usafi Wa Moyo LYRICS by Paul Clement:
English
Choose translation
Ooh, Eh eh
Ninavua viatu vyangu, mbele zako maana mahali pako Nchi Takatifu
Ninavua viatu vyangu, mbele zako maana mahali pako Nchi Takatifu
Eeh Bwana Nchi yako Takatifu, unaabudiwa kwa usafi
Eeh Bwana Nchi yako Takatifu, unaabudiwa kwa usafi
Wa moyo, wa moyo, wa moyo

Everybody sing, say
Usafi wa moyo (wa moyo)

(Ninavua viatu vyangu mbele zako) maana mahali pako
(Maana mahali pako Nchi Takatifu),
Ninavua matendo yangu ya mwili Bwana
(Ninavua viatu vyangu mbele zako) maana mahali pako
(Maana mahali pako Nchi Takatifu) Eeh Bwana ah

(Eeh Bwana) Nchi yako, (Nchi yako) Takatifu (Takatifu)
Unaabudiwa (Unaabudiwa) kwa usafi, (kwa usafi)
Eeh Bwana (Eeh Bwana) Nchi yako (Nchi yako) Takatifu (Takatifu)
Unaabudiwa (Unaabudiwa) kwa usafi (kwa usafi)
Eeh Bwana (Eeh Bwana) Nchi yako (Nchi yako) Takatifu (Takatifu)
Unaabudiwa (Unaabudiwa) kwa usafi (kwa usafi)
Eeh Bwana (Eeh Bwana) Nchi yako (Nchi yako) Takatifu (Takatifu)
Unaabudiwa (Unaabudiwa) kwa usafi (kwa usafi)
Eeh Bwana (Eeh Bwana) Nchi yako (Nchi yako) Takatifu (Takatifu)
Unaabudiwa (Unaabudiwa) kwa usafi (kwa usafi)
Eeh Bwana (Eeh Bwana) Nchi yako Bwana (Nchi yako) Takatifu (Takatifu)
Unaabudiwa, eeh (Unaabudiwa) kwa usafi (kwa usafi)
Ooh wa moyo (wa moyo) usafi wa moyo (wa moyo)
Usafi wa moyo (wa moyo), eeh unaabudiwa (unaabudiwa) ooh
(Kwa usafi) Wa moyo (wa moyo)
Unaabudiwa kwa usafi wa moyo, Bwana (wa moyo)
Usafi wa moyo, (wa moyo), eeh Bwana
(Unaabudiwa) kwa usafi, (kwa usafi) wa moyo
Wa moyo, (wa moyo)
Usafi wa moyo Bwana, (wa moyo)
Usafi wa moyo Bwana, (wa moyo)
We, eh unaabudiwa, (unaabudiwa) Bwana kwa usafi (kwa usafi)
Eeh wa moyo (wa moyo)
Usafi wa moyo, (wa moyo)
Usafi wa moyo, (wa moyo)
Bwana unaabudiwa, (unaabudiwa) kwa usafi (kwa usafi)
E-eeh wa moyo (wa moyo)
Usafi wa moyo (wa moyo)
Usafi wa moyo (wa moyo)
Eeh Bwana (Unaabudiwa) kwa usafi (kwa usafi)
Wa moyo (wa moyo)
Usafi wa moyo (wa moyo)
Oh, ooh (wa moyo)
Bwana unaabudiwa, (Unaabudiwa) kwa usafi (kwa usafi)
Eeeh, Halelluya

Unaabudiwa kwa usafi, wa moyo (wa moyo)
Usafi wa moyo (wa moyo)
Usafi wa moyo Bwana (wa moyo)
Eeh unaabudiwa (Unaabudiwa) eeh (kwa usafi)
Usafi wa moyo (wa moyo)
Usafi wa moyo (wa moyo)
Usafi wa moyo (wa moyo)
Bwana unaabudiwa, (Unaabudiwa) kwa usafi (kwa usafi)
Wa moyo, wa moyo (wa moyo)
Usafi wa moyo (wa moyo)
Usafi wa moyo (wa moyo)
Ooh unaabudiwa, (Unaabudiwa kwa usafi)
Wa moyo
Wa moyo
Wa moyo
Unaabudiwa kwa usafi

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here