The Blessing by Rebekah Dawn MP3 MUSIC VIDEO
The Blessing LYRCIS by Rebekah Dawn:
Bwana akubariki na akulinde
Akuangazie uso Wake
Na kukufadhili
Akuinulie uso Wake
Na kukupa amani
Bwana akubariki na akulinde
Akuangazie uso Wake
Na kukufadhili
Akuinulie uso Wake
Na kukupa amani
Amina, Amina, Amina
Amina, Amina, Amina
Bwana akubariki na akulinde
Akuangazie uso Wake
Na kukufadhili
Akuinulie uso Wake
Na kukupa amani
Bwana akubariki na akulinde
Akuangazie uso Wake
Na kukufadhili
Akuinulie uso Wake
Na kukupa amani
Tunaimba
Amina, Amina, Amina
Bwana Yesu
Amina, Amina, Amina
Tunaimba
Amina, Amina, Amina
Bwana Yesu
Amina, Amina, Amina
Neema yake iwe kwako
Na hadi vizazi elfu
Familia na watoto wako
Na wao na wao
Neema yake iwe kwako
Na hadi vizazi elfu
Familia na watoto wako
Na wao na wao
Neema yake iwe kwako
Na hadi vizazi elfu
Familia na watoto wako
Na wao na wao
Uwepo Wake uende mbele yako
Nyuma yako, kando yako
Ikuzingire, iwe ndani yako
Yuko nawe, Yuko nawe
Asubuhi na jioni
Ukujapo, uendapo
Kwa majonzi na furaha
Yuko nawe, Yuko nawe
Akujali, akulinda
Akuona, akuwaza
Akupenda, akuponya
Yuko nawe, Yuko nawe
Amina, Amina, Amina
Amina, Amina, Amina
Neema yake iwe kwako
Na hadi vizazi elfu
Familia na watoto wako
Na wao na wa
Uwepo Wake uende mbele yako
Nyuma yako, kando yako
Ikuzingire, iwe ndani yako
Yuko nawe, Yuko nawe
Asubuhi na jioni
Ukujapo, uendapo
Kwa majonzi na furaha
Yuko nawe, Yuko nawe
Akujali, akulinda
Akuona, akuwaza
Akupenda, akuponya
Yuko nawe, Yuko nawe
Amina, Amina, Amina
Amina, Amina, Amina