Home Music Lyrics Zabron Singers – Imenigharimu

Zabron Singers – Imenigharimu

Imenigharimu by Zabron Singers MUSIC VIDEO

Imenigharimu LYRCIS by Zabron Singers:
Imenigharimu sana mimi kuwa hapa
Wacha Mungu awe Mungu
Tangu kuzaliwa kwangu ujana uzee
Hajawai mi niacha

Kwenye giza kaniwekea nuru nisihangaike
Kwenye shida hutengeneza njia watu wake tunapita
Nimekuja kugundua umbali umenileta
Acha Mungu nikusifu

Mimi sina Mungu mwingine wa kunitendea haya
Hakika wanikumbuka
Hivi nilivyo Mungu ni yeye kaniwezesha
Ni muweza Baba heehee
Ntaendela kuvuka popote niko na Mungu
Ni Mungu yuko na mimi

Ni mengi nimepitia na leo kufika hapa
Kama si Mungu ni nani? Wadhani nani tena
Mengi akanivusha na baraka zikapanda
Wadhani Mungu ni nani, ni nani

Yeye ni nani, wadhani ni nani
Mungu ni nani eeh eeh

Kuzihesabu tu siku ni nguvu za Mungu
Ndio maana niko hai
Sikumlipa chochote,
wakati wa Mungu unapofika umefika

Nilipokuita hukusita, ulisema nami
Ninakushukuru umenipa maisha mazuri

Nimekuja kugundua wewe ni Mungu mwenye nguvu
Mwenye mamlaka yote
Sababu niko na wewe sina hofu na mashaka
Vita si yangu ni yako

Hivi nilivyo Mungu ni yeye kaniwezesha
Ni muweza Baba heehee
Ntaendela kuvuka popote niko na Mungu
Ni Mungu yuko na mimi

Ni mengi nimepitia na leo kufika hapa
Kama si Mungu ni nani? Wadhani nani tena
Mengi akanivusha na baraka zikapanda
Wadhani Mungu ni nani, ni nani

Utabaki kuwa Mungu uu

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here